Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano Iguguno sekondari mnapaswa kupakua form ya kujiunga na shule hii katika website ya tamisemi.Halikadhalika mnakumbushwa kulipa ada na michango yote mnayopashwa kulipa.Kumbuka ya kwamba hautapokelewa wala kusajiliwa kama utakuwa haujalipa michango unayopaswa kulipa.
No comments:
Post a Comment